• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Wakuu Wa Idara Na Vitengo Watembelea Miradi Ya Maendeleo

Imewekwa Kwenye: July 23rd, 2024

Kamati ya wataalam "CMT" ya halmashauri ya wilaya ya Kyela, ikiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Kyela Bi. Florah A. Luhala, wamefanya ziara ya kutembelea miradi ya maendele tarehe 22/07/2024.

Miradi iliyotembelewa ni pamoja na mradi wa ujenzi wa vyumba 3 vya madarasa katika shule ya msingi Kajunjumele, Ukarabati wa maabara katika shule ya sekondari ya Katumba songwe, shamba la michikichi katika kata ya Ngana.

Umaliziaji wa zahanati kata ya Ngana kijiji cha Kasumulu, Umaliziaji wa jengo la mama na mtoto zahanati ya Kapamisya kata ya Mwaya, shamaba la kakao katika kata ya Mwaya, umaliziaji wa zahanati ya Kiangala kata ya Talatala.

Aidha katika kutembelea miradi hiyo, Mkurugenzi mtendaji amebaini mapungifu kwa wasimamizi wa karibu wa miradi wakiwemo watendaji na kamati za usimamizi wa ujenzi wa miradi, hali inayopelekea miradi kuto kamilika kwa wakati, Mfano mradi wa ujenzi wa vyumba 3 vya  madarasa katika shule ya msingi Kajunjumele, ukarabati wa maabara katika shule ya Katumbasongwe, vifaa vyote vya umaliziaji vipo lakini shida ipo kwa wasimamizi wa karibu, hali iliyopelekea Mkurugenzi Mtendaji kuwapa siku chache za ukamilishaji wa miradi hiyo.

" Sioni sababu yoyote ya kuto kumalizia miradi, pesa zote zimelipwa, vifaa vya ujenzi vipo tatizo lipo wapi, Naomba tusilale tukamilishe miradi ili tuanze kutoa huduma kwa wananfunzi na wananchi" amesema Bi. Florah Luhala.

Aidha Wakuu wa Idara na Vitengo wametoa pongezi kwa miradi ya wananchi ikiwemo utunzaji wa miche ya kakao ambayo ilipandwa mara baada ya halmashauri kugawa miche kwa wakulima.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • KYELA COCOA GIRLS SECONDARY SCHOOL YALETA TUMAINI JIPYA KWA WATOTO WA KIKE KATA YA NKOKWA

    June 03, 2025
  • MAMLAKA YA MJI MDOGO YAKUSANYA MILIONI 400 KWA KIPINDI CHA ROBO YA TATU

    June 02, 2025
  • WAH. MADIWANI WAIACHA HALMASHAURI YA WILAYA YA KYELA MAHALI SALAMA WAKUSANYA BILLION 8.1 MPAKA ROBO YA TATU

    May 29, 2025
  • KAMATI YA FEDHA,UONGOZI NA MIPANGO MIJI YA MAMALAKA YA MJI MDOGO KYELA IMEFANYA ZIARA YA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA JENGO LA KUPUMZIKIA ABIRIA KATIKA STENDI KUU YA MABASI

    May 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa