• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

WALIMU WAKUU,WALIMU WA MANUNUZI, WAKUU WA SHULE,WATENDAJI WA KATA NA WA VIJIJI WAPIGWA MSASA MFUMO WA MANUNUZI (NEST)

Imewekwa Kwenye: April 24th, 2025

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela Ndg.Gerlad Mlelwa amehitimisha mafunzo ya matumizi ya Mfumo wa Manunuzi NeST kwa Walimu wakuu,walimu wa manunuzi,wakuu wa Shule ,watendaji wa Kata na wa vijiji katika Halmashauri ya Wilaya ya Kyela katika Ukumbi wa Sisita Hall tarehe 24.4.2025.

Akihitimisha  Mafunzo hayo Kaimu Mkurugenzi amewapongeza washiriki hao kuwa miongoni mwa wanufaika wa  Mafunzo hayo na kuwataka kutumia mafunzo hayo kama fursa ya kujua hatua  zote zinazohitajika kwenye mfumo huo.

Ndg.Gerlad Mlelwa  amesema hatua za kisheria zitachukuliwa  kwa wale watakaokwenda kinyume na kanuni za mfumo wa NeST kama walivyoelekezwa na Kufanya Manunuzi nje ya Mfumo wa Nest ni Kinyume cha Sheria

Aidha Kaimu Mkurugenzi amefafanua kuwa, "Mfumo huu wa kielektroniki umeundwa ili kuboresha uwazi, ushindani, na usawa katika michakato ya manunuzi ya umma, hivyo tunaamini kwa mafunzo haya yatasaidia kutatua  changamoto hususani kuharakisha michakato ya manunuzi ya vifaa vya ujenzi  na upatikanaji wa mafundi kwani mfumo ni rafiki na kufanikisha Miradi ya Maendeleo kumalizika kwa wakati

Kwa upande wake Ndg. Anthony Masau Afisa kutoka mamlaka ya udhibiti wa manunuzi ya umma (PPRA) Nyanda za juu kusini anaamini kwamba mafunzo hayo ya  kuwajengea uwezo walimu wakuu,walimu wa manunuzi, wakuu wa shule,watendaji wa kata na wa vijiji  yanalenga kuwawezesha kutumia mfumo wa NeST kwa ufanisi bila vikwazo na panapotokea changamoto PPRA ipo tayari muda wote kutoa usaidizi"

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WAUGUZI WILAYANI KYELA WAADHIMISHA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI KATIKA HOSPITALI YA MATEMA

    May 16, 2025
  • KAMATI YA UCHUMI, UJENZI NA MAZINGIRA YAFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO INAYOTEKELEZWA WILAYANI KYELA

    May 15, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA YAPONGEZA UTEKELEZWAJI MZURI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI KYELA

    May 14, 2025
  • WALIMU WAKUU,WALIMU WA MANUNUZI, WAKUU WA SHULE,WATENDAJI WA KATA NA WA VIJIJI WAPIGWA MSASA MFUMO WA MANUNUZI (NEST)

    April 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa