• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Wana IBASA Wakabidhi Vifaa tiba, Madawati, Bima Za Afya Kyela

Imewekwa Kwenye: December 28th, 2022

Umoja wa wanaKyela waishio ndani na nje ya Nchi ya Tanzania, wamekabidhi vifaa tiba katika Kituo cha afya Ipinda "Mama delivery Kit", baiskeli 1ya mlemavu, Madawati 30 kwa kata ya Ipinda, kadi za iCHF iliyoboreshwa kwa kaya 60 zenye watu zaidi ya 300 ili kuwasaidia wananchi wenzao ambao wanaishi katika wilaya hii ya Kyela.

Msaada huo umekabidhiwa leo tarehe 28/12/2022 katika kituo vha afya Ipinda kata ya Ipinda hapa wilayani Kyela.

Akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji, Kaimi Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Kyela Bi. Mariam Ngwere Mganga Mkuu wa wilaya amesema;

Kikundi cha IBASA kimekuwa kikishirikiana sana na serikali katika kuwasaidia wananchi wa hapa wilayani Kyela kwa takribani miaka 4 kwa sasa.

Aidha amewasihi wazazi waishio wilayani Kyela, kuendekea kuwaombea watoto wao hao ambao wanawaletea misaada ili wazidi kufanikiwa huko waliko na waendelee kutoa misaada kama hii kwa wenzao hapa wilayani.

Pia alizoa shukrani kwa msaada wa vifaa tiba, bima za Afya baiskeli ya mlemavu pamoja na madawati, yaliyotolewa kazikankata ya Ipinga ili kuweza kuwasaidia wanafunzi shuleni. kwa kufanya hivyo IBASA, wameweza kusaidiana na serikali katika kuwahudumia wananchi.

Pamoja na hayo, aliwaomba wana IBASA kutochoka katika kutoa misaada kwa  wanaKyela waendelee na moyo huo wa kujitolea na Mungu atazidi kuwabariki.

Akizungumza kwa niaba ya wanakikundi cha IBASA, Mwenyekiti wa kikundi hicho ndugu Isaya Mwakipesile Amesema, kikundi hiki ni kikundi cha watoto wote wa Kyela "Wanyakyusa" wanaofanya kazi nje na ndani ya nchi ya Tanzania.

Lengo la kikundi hiki ni kutoa misaada mbalimbali kwa ndugu zao waishio Kyela, Pia aliendelea kuseama kwamba, hadi sasa wameshasaidia wananchi zaidi ya 1000 kwa kuwapatia kadi za bima ya Afya ili kuwasaidia pale wanapopata na changamoto ya Afya.

Matangazo

  • Tangazo La Mkopo February 14, 2023
  • Tangazo La Mkopo February 14, 2023
  • Nafasi Za Kazi Tangazo Jipya January 01, 2023
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA December 01, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Taasisi Ya Tanzania Interfaith Partnership (TIP) Yatoa Mafunzo Ya Kuzuia Ugonjwa Wa Kipindupindu Wilayani Kyela

    March 21, 2023
  • Mkurugenzi Wa Halmashauri Ya Wilaya Ya Kyela Afanya Kikao Kazi Na Watumishi Ili Kusikiliza Kero Zao

    March 17, 2023
  • Kamati Ya Siasa Ya Mkoa Wa Mbeya Imetembelea Na Kukagua Miradi Ya Maendeleo Wilayani Kyela

    March 11, 2023
  • Maadhimisho Ya Siku Ya Mwanamke Yafana Wilayani Kyela

    March 08, 2023
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA UJENZI WA MADARASA
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0756944794

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa