• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Wananchi Wa Kata Ya Busale Wapongezwa Kwa Kuibua Na Kutekeleza Miradi Ya Maendeleo

Imewekwa Kwenye: February 6th, 2022

Boma la jengo la zahanati katika kijiji cha Masoko kata ya Busale, ikiwa zaidi ya shilingi milioni 18 zimechangwa na wananchi hadi kufikia ngazi linta.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Kyela Mheshimiwa Katule G. Kingamkono amewapongeza wananchi wa kata ya Busale wilayani Kyela kwa umoja wao wa kuibua na kutekeleza miradi ya maendeleo katika kata yao.Mheshimiwa Mwenyekiti ameyazungumza haya alipowatembelea wananchi hao katika kijiji cha Busoka na kijiji cha Masoko siku ya tarehe 04/02/2022.

Akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Masoko kata ya Busale hapa wilayani Kyela Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Kyela, Mheshimiwa Katule G. Kingamkono amesema, katika bajeti hii wamelingiza boma la zahanati ya kijiji cha masoko katika maombi maalumu ya kupatiwa fedha ili kulimalizia boma hilo ikiwa ni pamoja na maboma mengine 9 yaliyopo katika kata nyingine.

"Tunatambua wananchi wanataka matokeo hivyo kiongozi ni lazima uwe mkweli kwa wananchi ili yote tunayozungumza tuweze kuyatimiza kwa wananchi wetu ili wazidi kutuamini" alisema. 

Pia Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya Kyela Mheshimiwa Katule G. Kingamkono aliweza kutembelea kijiji cha Busoka katika kata ya Busale na kuwaambia wanaBusoka anawapenda sana na anawapongeza sana kwa kuanzisha mradi wa ujenzi wa Zahanati ya Busoka.

Pamoja na hayo Mheshimiwa Katule alisema, kwa mda mfupi tumeona Busale inakimbia sana kwa maendeleo, Aliwataka wanaBusoka kuendelea kushikamana na kufanya maendeleo. Pamoja na hayo Mheshimiwa alisema, Serikali inayoongozwa na Rais Samia Suruhu Hassan haijawaacha wanaBusoka, na imeleta fedha kiasi cha shilingi 50,000,000/=.

Aidha aliwataka wanaBusoka kuendelea kujitoa katika kuchangia Zahanati yao ili kuikamilisha kwa wakati, na anaamini punde Zahanati itakapokamilika, Serikali italeta wataalam kwa kuanza kazi.

Akiongea kwa njia ya simu Mbunge wa Kyela Mheshimiwa Ally J. Kinanasi
Alisema atachangia anawapenda sana wananchi wa Busake na katika kuonyesha kuwa yupo pamoja na wananchi hao atachangia shilingi milioni 1 kwa ujenzi wa Zahanati ya kijiji cha Masoko.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • KYELA COCOA GIRLS SECONDARY SCHOOL YALETA TUMAINI JIPYA KWA WATOTO WA KIKE KATA YA NKOKWA

    June 03, 2025
  • MAMLAKA YA MJI MDOGO YAKUSANYA MILIONI 400 KWA KIPINDI CHA ROBO YA TATU

    June 02, 2025
  • WAH. MADIWANI WAIACHA HALMASHAURI YA WILAYA YA KYELA MAHALI SALAMA WAKUSANYA BILLION 8.1 MPAKA ROBO YA TATU

    May 29, 2025
  • KAMATI YA FEDHA,UONGOZI NA MIPANGO MIJI YA MAMALAKA YA MJI MDOGO KYELA IMEFANYA ZIARA YA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA JENGO LA KUPUMZIKIA ABIRIA KATIKA STENDI KUU YA MABASI

    May 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa