• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Wananchi Wa Kata Ya Busale Wilayani Kyela Wapambana Kupata Shule Ya Kidato Cha Tano na Cha Sita

Imewekwa Kwenye: April 3rd, 2020

Wananchi wa kata ya Busale iliyopo katika wilaya ya Kyela, wamepata fulsa ya kuyembelewa na Waheshimiwa madiwani wa wilayani hapa, na kupewa pongezi nyingi kwa ujenzi wa vyumba 4 vya madarasa ikiwa ni kwa nguvu za wananchi pekee.

Ujenzi wa vyumba 4 vya madarasa katika shule ya sekondari Kiwira coal mine, ambapo hadi kufikia hapo jumla ya shilingi 12,293,000/= zimetumika ikiwa ni nguvu za wananchi tu, ambao wanatimiza azma ya maendeleo yanayosisitizwa na serikali ya awamu ya tano. 

Kwa kupitia kamati zao za kudumu Waheshimiwa madiwani walianza ziara zao za kutembelea miradi kuanzia tarehe 13/03/2020-17/03/2020, na Katina ziara hizo walipata wasaa wa kutembelea ujenzi wa chumba cha mionzi (uletra) kinachojengwa katika kituo cha afya kilichopo katika kata ya Ipinda wilayani Kyela, pia waliweza kutembelea mradi wa ujenzi wa vyumba 4 katika shule ya msingi Mbala iliyopo katika kata ya Kajunjumele, ujenzi wa hosteli 2 na bwalo 1katika shule ya sekondari Kafundo iliyopo katika kata ya Ipinda, ujenzi wa zahanati katika kata ya Ipande pamoja na ujenzi wa stendi ya maegesho ya magari ikiwa ni sehemu ya chanjo cha mapato. 

Aidha wakiwa katika ukarabati wa zahanati iliyopo katika kijiji cha Mpunguti kata ya Makwale iliyopewa shilingi 46,000,000/= na serikali kuu, kwa umaliziaji wa zahanati hiyo, Mhe. Hassan Mwambokela diwani wa kata ya Mkokwa wilayani hapa alisema pesa zote za umaliziaji wa jengo hilo ni lazima ziingizwe katika akaunti ya kijiji husika kama maagizo ya serikali kuu yanavyitaka. Hivyo waheshimiwa kwa pamoja walimtaka Kaimu Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Kyela ndugu Francis Mwaipopo kutimiza jambo hilo haraka. 

umaliziaji wa ujenzi wa zahanati ya Mpunguti iliyopo katika kijiji cha Mpunguti kata ya Makwale ukiendelea, ambapo serikali kuu imetoa shilingi 46,000,000/= kwa umaliziaji huo.

Kamati zote za madiwani ziliweza kutoa pongezi za dhati kwa kampuni ya Bioland na Kim's chocolate ambazo zinanunua kakao hapa wilayani Kyela, kwa kazi kubwa zinazofanya kwa kukarabati na kusaidia ujenzi wa shule mbalimbali wilayani hapa. 

Ujenzi wa mabweni 2 na bwalo 1 katika shule ya sekondari Kafundo iliyopo katika kata ya Ipinda wilayani Kyela. 

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WATAALAM WA AFYA KUTOKA MALAWI WAFANYA KIKAO NA WATAALAM WA AFYA KUTOKA KYELA KUJADILI NAMNA YA KUPAMBANA NA MAGONJWA YA MLIPUKO

    July 02, 2025
  • BIDHAA FEKI ZILIZOINGIA KWA NJIA HARAMU ZATEKETEZWA KWA MOTO

    July 01, 2025
  • KYELA YAFANIKISHA UNUNUZI WA GARI JIPYA AINA YA TOYOTA HILUX KUPITIA MAPATO YA NDANI KWA TSH. MILLIONI 149.1

    June 30, 2025
  • SERIKALI YAWAPUNGUZIA WANANCHI ADHA YA ELIMU KWA KUJENGA SHULE KARIBU YAO

    June 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa