• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

WANANCHI WA KIJIJI CHA KYANGALA WALIA MACHOZI YA FURAHA BAADA YA KUPATA ZAHANATI MPYA KATIKA KIJIJI HICHO

Imewekwa Kwenye: June 10th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe.Juma Zuberi Homera amehitimisha ziara yake Wilayani Kyela  tarehe 10.6.2025 kwa kukagua mradi wa ujenzi wa bweni shule ya Sekondari Kafundo,ujenzi wa skimu ya umwagiliaji Makwale,Uzinduzi wa zahanati ya Kyangala pamoja na Uzinduzi wa vyumba viwili vya madarasa shule ya Sekondari Ipinda.

Akizindua Zahanati ya Kyangala Mhe.Mkuu wa Mkoa ameupongeza Uongozi wa Serikali ya awamu ya sita unaoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwakufanikisha Ujenzi wa Zahanati ya kyangala na kutatua adha iliyodumu kwa muda mrefu kwa Wananchi wa Kijiji hicho katika kupata huduma za Afya kwa haraka

Aidha Zahanati ya Kyangala mpaka kukamilika kwake imegharimu kiasi cha Tsh. Millioni 142,125,000/= kutoka vyanzo mbalimbali vya Mapato:-

Michango kutoka kwa wananchi wa Kyangala 22,330,000/= ,Wadau wa Maendeleo 2,520,000/=, Mfuko wa Jimbo 7,300,000/= ,Fedha kutoka ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kyela 300,000/= ,Mchango wa kokoto kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Kyela Tsh.500,000/=, Fedha kutoka Serikali kuu Tsh. Milion 30,000,000, Fedha kutoka Halmashauri (Mapato ya ndani) Tsh.49,175,000/= Fedha kutoka Halmashauri (Mapato ya ndani) Milion 30,000,000/=

Hatahivyo Mradi huo wa Zahanati unatarajia kuhudumia Wananchi takribani 1071 wakazi wakijiji cha Kyangala na Wengine kutoka Vijiji jirani

Mhe.Homera amewaagiza wakala wa barabara Mjini na Vijijini (TARULA, kutafuta njia mbadala  ya kurekebisha miundombinu ya barabara inayotoka Zahanati ya Kyangala kwenda kituo cha Afya Ipinda na kuwasilisha taarifa ya jitihada hiyo kwenye ofisi ya Mkuu wa Wilaya ndani ya siku7 ,ili wananchi waweze kuyafikia matibabu kwa  haraka.

Aidha Mhe. Mkuu wa Mkoa amemuagiza mkandarasi wa bweni la Shule ya Sekondari Kafundo kukamilisha ujenzi ifikapo tarehe 28 mwezi huu kwani Serikali itavunja mkataba na kuchukua hatua za kinidhamu endapo mradi huo hautakamilika.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WANANCHI WA KIJIJI CHA KYANGALA WALIA MACHOZI YA FURAHA BAADA YA KUPATA ZAHANATI MPYA KATIKA KIJIJI HICHO

    June 10, 2025
  • MKUU WA MKOA WA MBEYA MHE. DKT. JUMA ZUBERI HOMERA AWEKA JIWE LA MSINGI SHULE YA WASICHANA KYELA COCOA GIRLS SECONDARY SCHOOL

    June 09, 2025
  • KYELA COCOA GIRLS SECONDARY SCHOOL YALETA TUMAINI JIPYA KWA WATOTO WA KIKE KATA YA NKOKWA

    June 03, 2025
  • MAMLAKA YA MJI MDOGO YAKUSANYA MILIONI 400 KWA KIPINDI CHA ROBO YA TATU

    June 02, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa