• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Wananchi Wa Kijiji Cha Lubaga Wilayani Kyela Kunufaika Na Mradi Wao Wa Maji Tena

Imewekwa Kwenye: September 29th, 2020

Wananchi wa kijiji cha Lubaga kilichopo katika kata ya Bujonde wilayani Kyela Mkoani Mbeya, wataendelea kunufaika na huduma  ya maji baada ya kukamilika kwa ukarabati wa mradi wao wa maji ulioharibiwa wakati wa utengenezaji wa miundo mbinu ya barabara  kijijini hapo. 

Akizungumza kabla ya kukabidhi cheti kwa jumuia ya watumia maji ya Kijiji cha Lubaga (JUWAMALU) jana tarehe 29 /09/2020, Mratibu wa Mradi huo ndugu Atunosyege Adamson Mwakang'ata amesema;

Mradi wa maji wa Lubaga ulianza kutengenezwa mwaka 2011 na kukamilika mwaka 2013 na kuanza kutumika mwaka huo huo 2013 mwishoni, baada ya hapo mradi huu ulipata changamoto kidogo baada ya kuharibiwa kwa miundo mbinu yake, wakati wa ukarabati wa barabara katika kijiji cha Lubaga na kuifanya mradi huu kusimama na kutotoa huduma tena kwa wananchi. 

Aidha ilipofika mwaka 2019 mkandarasi alieharibu miundo mbinu hiyo ya maji aliweza kulipa fidia na ukarabati wa miundombinu hiyo kurejeshwa kama ilivyokuwa awali na huduma ya maji kuendelea kutolewa kwa wananchi tena. 

Hivyo Wakala wa maji na usafi wa mazingira vijijini (RUWASA) kwa kupitia mratibu wake ndugu Atunosyege Adamson Mwakang'ata, amekabidhi cheti kwa jumuia ya watumia maji ya Kijiji cha Lubaga ili kuifanya jumuia hiyo kuwa na nguvu ya kutumia sheria na miongozo ya uundaji wa jumuia za watumia maji vijijini sheria mpya iliyoundwa mwaka 2019.

Sheria hii imeundwa mahususi kwa lengo la kuwataka wananchi kumiliki miradi yao ya maji, hivyo wananchi hao walitunga katiba na kanuni zao zitakazowasaidia kutunza miradi yao ya maji isiweze kuharibiwa au kuhujumiwa na baadhi ya watu wasiopenda maendeleo. 

Aidha akiongea kwa niaba ya wananchi mwenyekiti mpya wa jumuia ya watumia maji ya Kijiji cha Lubaga ndugu Deusi wiliamson Mwakabonga amesema, kwa upande wake yeye na jumuia yake wamejipanga katika kuhakikisha wanasimamia katiba na kanuni walizozitunga wenyewe ili kuifanya miradi ya maji kuwa endelevu na yenye tija kwa maendeleo ya wananchi wa kijijini hapo. 

Mwisho mwenyekiti wa kijiji cha Lubaga ndugu Kumbuka Mwalubanga, alitoa shukrani zake za dhati kwa serikali ya awamu ya tano kwa kuwasimamia wananchi wa kijiji cha Lubaga na hatimae kuweza kurudishiwa huduma yao ya maji tena, hata hiyo mwenyekiti huyo hakusita kuiomba serikali kuwafikishia umeme katika chanzo chao cha maji, ili kuwapunguzia gharama za mafuta kwani kwa sasa wanatumia kangakevu katika chanzo chao cha maji. 

Habari na Mawasiliano 

Kyela. 

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WAUGUZI WILAYANI KYELA WAADHIMISHA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI KATIKA HOSPITALI YA MATEMA

    May 16, 2025
  • KAMATI YA UCHUMI, UJENZI NA MAZINGIRA YAFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO INAYOTEKELEZWA WILAYANI KYELA

    May 15, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA YAPONGEZA UTEKELEZWAJI MZURI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI KYELA

    May 14, 2025
  • WALIMU WAKUU,WALIMU WA MANUNUZI, WAKUU WA SHULE,WATENDAJI WA KATA NA WA VIJIJI WAPIGWA MSASA MFUMO WA MANUNUZI (NEST)

    April 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa