• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Wananchi Wilayani Kyela Wahamasishwa Kupanda Miti, Kufanya Mazoezi Ili Kuimalisha Afya

Imewekwa Kwenye: May 27th, 2024

Mkuu wa wilaya ya Kyela Mhe. Josephine Manase, amewataka wananchi kuwa na utaratibu wa kufanya mazoezi ya mwili ili kuilinda afya, ili kutopata maradhi.

Mhe. Manase Ameyazungumza hayo tarehe 25.05.2024, alipokuwa kwenye ziara ya uhamasishaji wa upandaji wa miti katika shule ya msingi Matema Wilayani Kyela. Ambapo Mhe. Mkuu wa wilaya amesema, wilay tunatarajia kupanda miti takribani 1,500,000 mpaka kufikia mwezi wa saba Mwaka huu.

Aidha Mhe. Manase amempongeza Bw. Plotemy Mwakanyamale kwa kudhamini shughuli nzima ya upandaji wa miti pamoja na mashindano ya mbio za ufukweni, ikiwa ni kuunga mkono juhudi za Mhe. Rais wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassani katika harakati za Utunzaji Mazingira.

Vilevile Mhe. Josephine Manase amewataka walimu na viongozi kuweka utaratibu wa upandaji wa miti kwa wanafunzi ili kuweza kurithisha Utamaduni huu kwa vizazi vyetu, nakuifanya wilaya ya Kyela kuwa mfano wakuigwa katika utunzaji wa mazingira.

Pamoja na hayo Mhe. Manase ametoa umuhimu wa upandaji miti wilaya ya Kyela ikiwa ni pamoja na kuepuka athari zitokanazo na uharibifu wa mabadiliko ya tabia nchi.

Mwisho Mkuu wa wilaya ya Kyela Mhe. Josephine Manase amewasisitiza wananchi kutokata miti ovyo, kwani ni uharibifu wa mazingira, amewataka wananchi kujikita katika matumizi ya nishati safi na salama.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WAUGUZI WILAYANI KYELA WAADHIMISHA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI KATIKA HOSPITALI YA MATEMA

    May 16, 2025
  • KAMATI YA UCHUMI, UJENZI NA MAZINGIRA YAFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO INAYOTEKELEZWA WILAYANI KYELA

    May 15, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA YAPONGEZA UTEKELEZWAJI MZURI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI KYELA

    May 14, 2025
  • WALIMU WAKUU,WALIMU WA MANUNUZI, WAKUU WA SHULE,WATENDAJI WA KATA NA WA VIJIJI WAPIGWA MSASA MFUMO WA MANUNUZI (NEST)

    April 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa