• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Watafiti Wa Kilimo Biashara Kutoka Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam Watoa Matokeo Ya Utafiti Mafunzo Ya Ujasiriamali Kyela

Imewekwa Kwenye: June 6th, 2022

Akizungumza katika ufunguzi wa semina leo tarehe 6/06/2022, Semina ya uwasilishwaji wa matokeo utafiti na mafunzo ya ujasiriamali unaohusisha kilimo biashara, Mkuu wa wilaya ya Kyela Mhe. Ismail Mlawa amesema,

 Anashukuru sana wataalam utafitiwa kilimo biashata kutoka chuo kikuu cha Dara es salaam, kwa kufanya tafiti inayonesha ushiriki wa wanawake katika kilimo biashara, Na pia anaimani kwamba awamu ya pili ya tafiti hii itahusisha wanawake wengi zaidi ili elimu hii iweze kusambaa kwa kasi ndani na nje ya wilaya yetu ya Kyela.

Aidha amesema ni kweli wanawawake wengi ushiriki wao katika maswala ya kilimo biashara ni mchache sana, Lakini kwa kupitia elimu hii anaamini  wanawake wengi watainuka na watashiriki katika shughuli za ujasiriamali na hatimae kuondoa unyonge wao katika unufaikaji wa mazao wanayyalima sawa na wanaume.

"Moja ya kazi ya Mkuu wa wilaya ni kuhamasisha maendeleo kwa wananchi, hivyo nitahakikisha elimu hii nami naipeleka kwa wananchi" Alisema Mhe. Mkuu wa wilaya. Mwisho alitoa shukrani kwa shirika la "SIDA" kwa udhamini wa kuafanya utafiti huu katika wilaya ya Kyela.

Nae Prof. Lehice Kinundwa Rutashobya kutoka Chuo Kikuu Dar es salaam amesema, anamshukuru sana Mheshimiwa Mkuu wa wilaya ya Kyela kwa kujitoa na kufika katika uwasilishwaji huu wa mradi wa  kilimo biashara kwa maendeleo, Pia Amesema mradi huu ni muhimu sana katika nchi yetu kwa sababu mradi huu unakwenda kumsaidia wanawake wote.
Hata hivyo katika nchi ambazo zinaendelea katika kilimo biashara wanawake wengi wapo nyuma sana katika kupata faida ya mazao ya kilimo, hasa ukizingatia wanawake wengi ndio wanaotunza familia.
 Amesema mradi umebaini kuwa wanawake hawashiriki sana katika kufaidika na matunda ya kilimo. Sasa mradi huu una lengo kubwa la kufanya tafiti ya shughuli za kilimo bishara katika wilaya ya Kyela ili kutoa elimu kwa wanawake na mwishoe waweze kufaifika na kilimo.

Akitoa neno la shukrani Dr. Tumsifu Elly amesema, anatoa shukrani zake za dhati kwa Mheshimiwa Mkuu wa wilaya ya Kyela kwa kuelewa  haraka  malengo ya mradi huu, ambao unalenga kuinua mnyororo wa thamani katika soko la mazao, katika wilaya ya Kyela na Taifa kwa ujumla.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WAUGUZI WILAYANI KYELA WAADHIMISHA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI KATIKA HOSPITALI YA MATEMA

    May 16, 2025
  • KAMATI YA UCHUMI, UJENZI NA MAZINGIRA YAFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO INAYOTEKELEZWA WILAYANI KYELA

    May 15, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA YAPONGEZA UTEKELEZWAJI MZURI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI KYELA

    May 14, 2025
  • WALIMU WAKUU,WALIMU WA MANUNUZI, WAKUU WA SHULE,WATENDAJI WA KATA NA WA VIJIJI WAPIGWA MSASA MFUMO WA MANUNUZI (NEST)

    April 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa