• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Wauguzi Watakiwa Kuwa Na Lugha Rafiki Kwa Wagonjwa

Imewekwa Kwenye: May 13th, 2023

Hayo yamezungumzwa na Mkuu wa Idara ya huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na lishe(W) Dkt. Saumu Kumbisaga alipokuwa akitoa hotuba yake katika hafla fupi ya maadhimisho ya siku ya wauguzi duniani iliyofanyika tarehe 12/05/2023 katika viwanja vya hospitali ya wilaya ya Kyela.

Daktari Kumbisaga amewataka wauguzi kuwa na lugha rafiki kwa wagonjwa hasa kwa akina mama wajawazito, ili kuwaongezea amani na kuwafanya wajifungue kwa salama.

Aidha amewataka wauguzi kujiamini na kufanya kazi kwa kufuata kanuni, sheria na taratibu, kwani bila wao hakuna daktari.

Kwa wale watumishi wachache ambao wameingia katika fani ya uuguzi, Ili kutafuta ajira na si kusaidia wagonjwa, amesema hao ndio wanaoharibu sifa ya  kazi za wauguzi na ameahidi kuwaibua watumishi hao wasiokuwa na lugha rafiki kwa wagonjwa, bila kusubiri viongozi kuwaibua watumishi hao.

Pamoja na hayo Dkt. Kumbisaga amewataka watumishi wote wanaojitolea katika Idara ya afya, wafanye kazi kwa miongozo ya afya na kwa nidhamu kubwa, kwani hata zinapotokea ajira wao wanakuwa mstari wa mbele katika kuwasemea.

Pia Dkt. Kumbisaga ametoa shukrani za dhati kwa Mhe. Rais. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuajiri watumishi wengi katika kada hii ya afya.

Pongezi nyingine amezipeleka kwa wauguzi wa Hospitali ya wilaya ya Kyela, kwani kwa sasa imeanza kusifiwa kwamba huduma zimeboreshwa.

"Sisi waauguzi tumesomea kutibu, hatujasomea kuua, tunatoa huduma ya kutibu wagonjwa hivyo wananchi wawe na amani wanapofika hospitari" amesema Dkt. Kumbisaga.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WALIMU WAKUU,WALIMU WA MANUNUZI, WAKUU WA SHULE,WATENDAJI WA KATA NA WA VIJIJI WAPIGWA MSASA MFUMO WA MANUNUZI (NEST)

    April 24, 2025
  • DED KYELA AFANYA KIKAO NA WATENDAJI KATA CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA UTENDAJI KAZI NA USIMAMIZI WA SHUGHULI ZA MAJI NA USAFI WA MAZINGIRA

    April 10, 2025
  • DC KYELA AWASILISHA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM KUANZIA JULAI HADI DESEMBA 2024

    March 29, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YAPONGEZA USIMAMIZI MZURI WA MRADI WA JENGO LA MAMA NA MTOTO KATIKA HOSPITALI YA WILAYA YA KYELA

    March 20, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa