• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

WENYEVITI WA VIJIJI NA VITONGOJI WAPYA WAPEWA MAFUNZO MAALUMU YAKUWA VIONGOZI BORA

Imewekwa Kwenye: February 14th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Kyela Mhe.Josephine Manase amefungua mafunzo elekezi kwa Wajumbe wa baraza la Mamlaka ya mji mdogo wa Kyela katika ukumbi wa mikutano wa Mamlaka tarehe 14.2.2025

Akizungumza kwenye mafunzo hayo Mhe.Mkuu wa Wilaya amewapongeza Wajumbe kushiriki na kupata nafasi kuwa wajumbe,pia amewataka Wajumbe hao kufuata kanuni na Sheria za uongozi ili waweze kuongoza vyema kwenye maeneo yao.

Mhe.Mkuu wa Wilaya amewaagiza Wajumbe kujenga ushirikiano mzuri na Wananchi katika utendaji kazi ili kujua na kutatua changamoto zinazowakabili.

Aidha Mhe.Mkuu wa Wilaya amewataka wajumbe hao kuweka utaratibu wa kufanya vikao vya mara kwa mara na wananchi kwani vikao hivyo ni chachu ya maendeleo endelevu kwa vitongoji na Wilaya kwa ujumla.

Sambamba na hilo Mhe.Josephine Manase amewataka wajumbe wa Mamlaka kuwa wasemaji wazuri kwa Wananchi juu ya miradi ya maendeleo inayojengwa kupitia fedha zinazotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan,ili wananchi waweze kutunza miradi hiyo.

Kuhusu ukusanyaji wa mapato Mhe.Mkuu wa Wilaya amewataka wajumbe hao kuwa wasimamizi wazuri wa mapato ili kujenga maslahi ya mamlaka kwa ajili ya kujenga uchumi na maendeleo ya Mamlaka na Wilaya.


Akisisitiza suala la lishe Shuleni Mhe. Josephine Manase amewataka Wajumbe kutoa elimu kwa Wazazi wenye watoto shuleni kutoa mchango wa chakula ili watoto waweze kupata chakula wawapo shuleni ikiwa ni kumuunga mkono Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan juu ya suala la kuondoa udumavu.  


Akifunga mafunzo ya Wajumbe wa Mamlaka Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Bi. Florah A.Luhala amewataka wajumbe kuwa mfano bora na kusimamia vyema masuala muhimu kwenye maeneo yao ikiwemo kutoa elimu kwa Wananchi juu ya ukusanyaji mapato,na umuhimu wa usafi wa mazingira.

Pia Mkurugenzi Mtendaji amewataka wajumbe kufuata kanuni na sheria kama walivyoelekezwa na wawezeshaji wa mafunzo hayo.


Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WANANCHI WA KIJIJI CHA KYANGALA WALIA MACHOZI YA FURAHA BAADA YA KUPATA ZAHANATI MPYA KATIKA KIJIJI HICHO

    June 10, 2025
  • MKUU WA MKOA WA MBEYA MHE. DKT. JUMA ZUBERI HOMERA AWEKA JIWE LA MSINGI SHULE YA WASICHANA KYELA COCOA GIRLS SECONDARY SCHOOL

    June 09, 2025
  • KYELA COCOA GIRLS SECONDARY SCHOOL YALETA TUMAINI JIPYA KWA WATOTO WA KIKE KATA YA NKOKWA

    June 03, 2025
  • MAMLAKA YA MJI MDOGO YAKUSANYA MILIONI 400 KWA KIPINDI CHA ROBO YA TATU

    June 02, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa