• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Wilaya Ya Kyela Yaadhimisha Siku Ya UKIMWI Duniani

Imewekwa Kwenye: December 1st, 2023

Wilaya ya Kyela imeadhimisha siku ya UKIMWI duniani tarehe 30/11/2023 katika kata ya Mababu kijiji cha Ngyeke.

Akitoa hotuba kwa niaba ya Mhe. Mkuu wa wilaya ya Kyela, Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Kyela Mhe. Katule G. Kingamkono, amewapongeza viongozi wa wilaya na wananchi kwa jitihada za utoaji wa elimu ya kujikinga dhidi ya maambukizi mapya ya VVU, hatimae wilaya ya Kyela imeshuka katika takwimu za maambukizi mapya kutoka 3.4% mwaka 2021/2022 hadi kufikia 2.7% kwa mwaka 2022/2023.

Aidha amewataka akinamama wajazito kuwahi kufika vituo vya afya ili kupima afya zao afya na pindi wanapogundulika kuwa na maambukizi ni vyema wakaanza kutumia dawa ili kumkinga mtoto.

Pia amewashauri wananchi kuendelea kutokupima UKIMWI tu bali, wapime hata magonjwa mengine pamoja na kuzingatia suala la tohara ili kulinda Afya.

Vilevile Mheshimiwa Katule amewasisitiza wananchi kufanya mazoezi na kuzingatia mlo kamili kwa faida ya kuimarisha afya ya mwili.

Awali Kaimu Mkuu wa Idara ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe (W) Dr. Proneth Mtei amesema;

Wilaya ya Kyela imeendele kupambana na janga la UKIMWI, kwa kutekeleza afua mbalimbali za kudhibiti maambukizi mapya ikiwemo kutoa elimu ya maambukizi ya virusi vya UKIMWI kwa jamii.

Kutoa dawa kinga kwa makundi maalumu, kutoa huduma ya tohara ya hiari kwa wanaume wenye umri miaka 15 nakuendelea kwani hupunguza maambukizi kwa 60%, Ugawaji na usambazaji wa kondom.

Aidha amesema kutokana na hayo kuna manufaa yamepatikana ikiwemo wananchi kujua hali zao za afya, kupunguza vifo vitokanavyo na VVU/UKIMWI pia kuwepo na jamii yenye afya na kujiletea maendeleo.

Mwisho.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WALIMU WAKUU,WALIMU WA MANUNUZI, WAKUU WA SHULE,WATENDAJI WA KATA NA WA VIJIJI WAPIGWA MSASA MFUMO WA MANUNUZI (NEST)

    April 24, 2025
  • DED KYELA AFANYA KIKAO NA WATENDAJI KATA CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA UTENDAJI KAZI NA USIMAMIZI WA SHUGHULI ZA MAJI NA USAFI WA MAZINGIRA

    April 10, 2025
  • DC KYELA AWASILISHA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM KUANZIA JULAI HADI DESEMBA 2024

    March 29, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YAPONGEZA USIMAMIZI MZURI WA MRADI WA JENGO LA MAMA NA MTOTO KATIKA HOSPITALI YA WILAYA YA KYELA

    March 20, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa