Imewekwa Kwenye: June 8th, 2018
Haya yamezungumzwa na mratibu wa mradi wa usimamizi endelevu wa ardhi ya bonde la ziwa Nyasa ndugu. Aswile Fumbo katika kikao kilichofanyika jana tarehe 7/06/2018.
Kikao hicho kilihudhuliwa na wata...
Imewekwa Kwenye: June 5th, 2018
Halmashauri ya Wilaya ya Kyela yatoa elimu juu ya umuhimu wa Baba na Mama kwenda kliniki pamoja, elimu hii imetolewa tarehe 4/06/218 katika viwanja vya Godauni Ipinda.
Akizungumza na Wananchi...
Imewekwa Kwenye: May 29th, 2018
Halmashauri ya wilaya ya Kyela inatarajia kutoa ajira za mda mfupi kwa kaya maskini kupitia mpango wa kunusuru kaya maskini (TASAF).
Haya yamezungumzwa na Afisa ufuatiliaji na usimamizi wa mp...