Imewekwa Kwenye: September 27th, 2021
Mkuu wa wilaya ya Kyela Mheshimiwa Ismail Mlawa akiendelea kutoa elimu ya COVID19 Kwa watumishi. Elimu hii inatolewa sasa kupitia watumishi wa Afya, ili kuwahamasisha watumishi wengine kuchanja pamoja...
Imewekwa Kwenye: September 23rd, 2021
Kamati ya Bunge ya masuala ya UKIMWI, kifua kikuu, dawa za kulevya na magonjwa yasiyopewa kipaumbele yafanya ziara wilayani Kyela tarehe 21/09/2021.
Akizungumza kwa niaba ya waheshimiwa Wabun...
Imewekwa Kwenye: September 20th, 2021
Halmashauri ya wilaya ya Kyela imetenga kiasi cha shilingi 403,000,000/= ikiwa ni mapato yake ya ndani kwa ajiri ya ujenzi wa kituo cha Afya katika kata ya Ngonga hapa wilayani Kyela.
...