Imewekwa Kwenye: February 5th, 2021
Maazimisho ya sherehe za kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika mkoa wa Mbeya yamefanyika katika wilaya ya Kyela tarehe 4/02/2021, maazimisho haya yamefanyika katika viwanja vya Kapunga vilivyo...
Imewekwa Kwenye: January 2nd, 2021
Haya yamezungumzwa na Mhe. Naibu waziri wa maji Meryprisca Mahundi alipokuwa katika ziara ya kikazi katika eneo la Mambe Busokelo katika mradi wa maji wa mto Kanga tarehe 31/12/2020.
Mheshimiwa Nai...
Imewekwa Kwenye: December 29th, 2020
Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Kyela Mhe. Katule G. Kingamkono amefanya ziara katika shule za Sekondari Kyela na Makwale, kwa lengo la kukagua na kujua changamoto za ujenzi wa madarasa, ziara ...