Imewekwa Kwenye: February 15th, 2024
Mkuu wa wilaya ya Kyela Mhe. Josephine Manase azindua rasmi kampeni ya utoaji wa chanjo ya surua na lubela kwa watoto wote walio chini ya umri wa miaka 5, leo tarehe 15.02.2024 katika kata ya Ndandalo...
Imewekwa Kwenye: February 14th, 2024
Mkuu wa wilaya ya Kyela Mhe. Josephine Manase amezindua zoezi la ugawaji wa miche ya miti ipatayo 20088, kwa wakulima na baadhi ya taasisi, ikiwemo miche 15,666 ya michikichi na miche 4,422 ya kakao.
...
Imewekwa Kwenye: January 28th, 2024
Mkuu wa wilaya ya Kyela Mhe. Josephine Manase tarehe 26/01/2023, ametembelea eneo ambalo shule ya wasichana "Kokoa Girls" inatarajiwa kujengwa katika kata ya Nkokwa kijiji cha Sinyanga ha...